IQNA

Jinai za Israel  dhidi ya watoto wa Gaza yaangaziwa Siku ya Watoto Duniani

Jinai za Israel dhidi ya watoto wa Gaza yaangaziwa Siku ya Watoto Duniani

IQNA – Katika Siku ya Watoto Duniani, inayokumbusha kupitishwa kwa Mkataba wa Haki za Mtoto mnamo Novemba 20, 1989, watetezi wa Palestina na baadhi ya mashirika ya haki za binadamu wamelaani vikali utawala katili wa Israel kwa kuwalenga watoto wa Gaza kwa makusudi na kwa mfumo wa kikatili.
11:37 , 2025 Nov 21
Florida: Wanafunzi Waislamu wasumbuliwa wakati wa sala ya Alfajiri

Florida: Wanafunzi Waislamu wasumbuliwa wakati wa sala ya Alfajiri

IQNA – Wanafunzi Waislamu katika Chuo Kikuu cha Florida Kusini (USF) nchini Marekani wamesema wanaume watatu walivuruga mkusanyiko wao wa sala ya alfajiri na kuwatendea unyanyasaji.
11:25 , 2025 Nov 21
Kamati ya Katiba ya Ureno yatupilia mbali pendekezo la marufuku ya ufadhili wa misikiti

Kamati ya Katiba ya Ureno yatupilia mbali pendekezo la marufuku ya ufadhili wa misikiti

IQNA – Kamati ya Masuala ya Katiba ya Ureno imeamua kuwa pendekezo la kuzuia ufadhili wa umma kwa ujenzi wa misikiti halina msingi wa kikatiba.
11:15 , 2025 Nov 21
Baraza la Waislamu Ufaransa Lawakemea Watafiti kwa Kuchochea Chuki Dhidi ya Uislamu

Baraza la Waislamu Ufaransa Lawakemea Watafiti kwa Kuchochea Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Baraza la Imani ya Kiislamu Ufaransa (CFCM) limepinga vikali utafiti mpya wa taasisi ya Ifop, likisema utafiti huo unachochea unyanyapaa na kuendeleza chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu (Islamophobia)
11:07 , 2025 Nov 21
Klipu | Mola wangu Mlezi amenikirimu!

Klipu | Mola wangu Mlezi amenikirimu!

IQNA- Katika dunia ya leo yenye pilika pilika nyingi na mwendo wa haraka, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mfululizo wa "Sauti ya Wahyi" kwa kuchagua baadhi ya aya kwenye Qur'ani Tukufu na sauti ya kupendeza ya Ustadh Behrouz Razawi, ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye kuinua roho. Mfululizo huu mfupi lakini wenye maudhui ya kina, unawaletea nyakati za utulivu na matumaini.
14:49 , 2025 Nov 20
Uzinduzi wa Maonesho ya Sanaa za Qur’an ya Dhuha Jijini Tehran

Uzinduzi wa Maonesho ya Sanaa za Qur’an ya Dhuha Jijini Tehran

IQNA – Hafla ya uzinduzi wa Maonesho ya Sanaa za Qur’an ya Duha, yaliyoandaliwa na Shirika la Qur’an la Wasomi wa Iran, ilifanyika jioni ya Jumapili, Novemba 16, 2025, katika Makumbusho ya Sanaa za Kidini ya Imam Ali (AS), mjini Tehran.
14:38 , 2025 Nov 20
Shiraz ni mwenyeji wa Mkutano wa 7 wa Kimataifa Kuhusu Sira ya Mtume (SAW) katika Tiba

Shiraz ni mwenyeji wa Mkutano wa 7 wa Kimataifa Kuhusu Sira ya Mtume (SAW) katika Tiba

IQNA – Mkutano wa 7 wa Kimataifa kuhusu Sira (Maisha na Mwenendo) wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) katika nyanja ya tiba umeanza siku ya Jumatano katika mji wa Shiraz, kusini mwa Iran.
14:34 , 2025 Nov 20
Mashindano ya  Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kigeni wa Al-Azhar yapongezwa

Mashindano ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kigeni wa Al-Azhar yapongezwa

IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Wahitimu wa Al-Azhar imeandaa mashindano ya usomaji wa Qur’an ya “Sauti Njema” nchini Misri, tukio lililopokelewa kwa furaha na wanafunzi wa Al-Azhar kutoka mataifa mbalimbali.
14:22 , 2025 Nov 20
Mtaalamu wa Qur’an asema wanaoibua mitindo ya qiraa wawe na uzoefu miaka 15

Mtaalamu wa Qur’an asema wanaoibua mitindo ya qiraa wawe na uzoefu miaka 15

IQNA – Mtaalamu mashuhuri wa Qur’an amesema kuwa wanafunzi wa usomaji wa Qur’an wanapaswa kutumia angalau miaka 15 kuiga na kuumudu mitindo ya wasomaji maarufu wa Qur’an kabla ya kuanza kuendeleza mbinu yao binafsi ya kipekee.
14:15 , 2025 Nov 20
Waziri Mkuu wa Uingereza aapa kupambana na Chuki Dhidi ya Waislamu

Waziri Mkuu wa Uingereza aapa kupambana na Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA-Katika kikao cha maswali ya kila wiki bungeni, Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer alitangaza kuwa chuki dhidi ya Waislamu ni jambo la kuchukiza na halina nafasi katika jamii.
14:03 , 2025 Nov 20
Mwanamke Mmisri ahifadhi Qur’an nzima akiwa na miaka 80

Mwanamke Mmisri ahifadhi Qur’an nzima akiwa na miaka 80

IQNA – Mwanamke kutoka mji wa Qena, Misri, ameweza kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu akiwa na umri wa miaka 80, licha ya kutokuwa na elimu ya kusoma na kuandika.
20:32 , 2025 Nov 19
Sharjah yafungua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu kwa Kauli mbiu ya “Taa”

Sharjah yafungua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu kwa Kauli mbiu ya “Taa”

IQNA – Sharjah imezindua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu, tukio la siku 70 linaloangazia urithi wa sanaa za Kiislamu kutoka duniani kote.
20:26 , 2025 Nov 19
Mapambano yazuka Dearborn kufuatia kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu na jaribio la kudhalilisha Qur'ani

Mapambano yazuka Dearborn kufuatia kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu na jaribio la kudhalilisha Qur'ani

IQNA – Waandamanaji waligongana mitaani Dearborn Jumanne baada ya wanaharakati wa mrengo wa kulia kuwachokoza wakazi kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu na wahamiaji, na kujaribu kudhalilisha Qur'ani Tukufu. Tukio hilo lilisababisha msuguano mdogo na polisi kuingilia kati kwa nguvu ili kuwatenganisha makundi hayo.
16:26 , 2025 Nov 19
Warsha Yemen kuhusu uhifadhi wa nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu

Warsha Yemen kuhusu uhifadhi wa nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu mbinu na njia za kuhifadhi na kukarabati nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu za mwanzo imefanyika nchini Yemen.
16:08 , 2025 Nov 19
Jordan yazindua mradi wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa

Jordan yazindua mradi wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa

IQNA – Idara ya Awqaf (Wakfu) katika Mkoa wa Tafilah, Jordan, imeanzisha mradi maalumu wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa na kuharibika kutoka misikiti ya nchi hiyo.
15:55 , 2025 Nov 19
1