IQNA

Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

Umoja wa Kiislamu ni msingi wa kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA – Katibu wa Baraza Kuu la Mapinduzi ya Kiutamaduni la Iran amesema kuwa umoja wa Waislamu ni muhimu si tu kwa ajili ya kujilinda, bali pia kwa ajili ya kuunda ustaarabu mpya wa Kiislamu.
14:40 , 2025 Sep 14
Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

Uongozi wa Mtume Muhammad (SAW) Ulijaa Rehema na Umoja

IQNA – Msomo mmoja wa Kiislamu kutoka Iran amesisitiza kuwa mfano wa Mtume Muhammad (SAW) katika uvumilivu, msamaha na uongozi wa kuunganisha jamii ni wa kipekee na haujawahi kulinganishwa hadi leo.
14:15 , 2025 Sep 14
Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

Maktaba ya Sayansi ya Qur’ani na Hadithi huko Qom

IQNA – Maktaba maalum ya Sayansi ya Hadithi mjini Qom, Iran imekua na kuwa kituo muhimu cha utafiti, ikijitokeza kwa mkusanyiko wake mpana, vyanzo vilivyosasishwa, na mtazamo wake wa kuunga mkono wasomi. Ina uwezo wa kuwa rejea kuu katika taaluma ya Hadithi ndani ya vyuo vya kidini na hata nje yake. Picha zimechukuliwa mwezi Septemba 2025.
14:01 , 2025 Sep 14
Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

Misikiti ya Uskochi yakabiliwa na hatari za hujuma za kigaidi, yaimarisha usalama

IQNA – Misikiti kote Uskochi au Scotland nchini Uingereza imeongeza kwa kiwango kikubwa hatua za kiusalama, ikiwemo kuajiri walinzi binafsi na kuweka ulinzi wa saa 24, kufuatia njama ya kigaidi iliyozimwa na ongezeko la mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu.
13:35 , 2025 Sep 14
Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

Mtoto wa Kipalestina ahifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu kukiwa na Vita vya Mauaji ya Kimbari Gaza

IQNA – Al-Baraa ni mtoto wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 12 ambaye, licha ya vita na mashambulizi ya mabomu ya utawala katili wa Israel dhidi katika Ukanda wa Gaza, ameweza kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote.
13:21 , 2025 Sep 14
Mtaalamu: Shambulizi la Israeli dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Iran

Mtaalamu: Shambulizi la Israeli dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Iran

IQNA – Shambulizi la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Qatar limethibitisha usahihi wa sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kipindi cha miaka 45 iliyopita, hususan kuhusu msimamo wa kutokufanya maridhiano na utawala wa Tel Aviv. Hayo ni kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala ya Asia ya Magharibi.
13:13 , 2025 Sep 14
Baraza Kuu la UN laidhinisha kuundwa Dola la Palestina

Baraza Kuu la UN laidhinisha kuundwa Dola la Palestina

IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepitisha kwa wingi mkubwa sana wa kura "Azimio la New York" linalotoa mwongozo wa kuchukuliwa "hatua zinazoonekana, katika muda maalumu na zisizoweza kutenduliwa" kuelekea kwenye uundwaji wa Dola la Palestina.
16:19 , 2025 Sep 13
Waswasi watanda baada ya Msikiti wa Taunton Uingereza kuvunjwa katika tukio la chuki

Waswasi watanda baada ya Msikiti wa Taunton Uingereza kuvunjwa katika tukio la chuki

IQNA – Kitendo cha kuvunjwa kwa madirisha ya Msikiti wa Taunton, nchini Uingereza, kimezua hasira na huzuni miongoni mwa wanajamii wa eneo hilo, huku polisi wakikitaja tukio hilo kuwa ni uhalifu wa chuki unaochochewa na misingi ya kidini au ya rangi.
16:08 , 2025 Sep 13
Nasaha za Mtume Muhammad (SAW) Kuhusu Qur’ani na Vikao vya Qur’ani

Nasaha za Mtume Muhammad (SAW) Kuhusu Qur’ani na Vikao vya Qur’ani

IQNA – Mtume Muhammad (SAW), kipenzi cha Umma wa Kiislamu, alitoa mwongozo wa wazi kwa ajili ya kukuza roho na imani ya Waislamu kwa kusisitiza umuhimu wa kufahamu Qur’ani, kutafakari aya zake, na kushiriki katika vikao vya Qur’ani.
15:55 , 2025 Sep 13
Mashindano ya Qur’ani kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) Nchini Algeria

Mashindano ya Qur’ani kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad (SAW) Nchini Algeria

IQNA – Wizara ya Mambo ya Kidini na Wakfu ya Algeria imetangaza kuwa shughuli za Wiki ya 27 ya Kitaifa ya Qur’ani zitaanza Jumatatu, Septemba 15, katika mkoa wa Boumerdes.
15:46 , 2025 Sep 13
Mafundisho ya Mtume (SAW) kwa lugha ya kisasa ni daraja zama za kale na zama hizi

Mafundisho ya Mtume (SAW) kwa lugha ya kisasa ni daraja zama za kale na zama hizi

IQNA – Mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW), yakielezwa kwa lugha ya leo, yanaweza kusaidia kuziba pengo kati ya zama za kale na maisha ya kisasa, sambamba na kukabiliana na tatizo la ujinga wa kidini, kwa mujibu wa mwanazuoni mmoja kutoka Iran.
15:43 , 2025 Sep 13
Picha: Maelfu Waadhimisha Milad-un-Nabi jijini Tehran

Picha: Maelfu Waadhimisha Milad-un-Nabi jijini Tehran

IQNA – Maadhimisho ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) na Imam Ja’far al-Sadiq (AS) yalifanyika mjini Tehran, Iran tarehe 10 Septemba 2025, katika hafla iliyopewa jina “Mtume Mwenye Huruma.” Tukio hilo lilifanyika kwa mwaka wa nne mfululizo, likianzia kutoka Medani ya Valiasr hadi Medani wa Haft-e Tir, na kuwajumuisha maelfu ya washiriki waliokuja kusherehekea kwa shangwe na heshima.
20:47 , 2025 Sep 12
Nakala ya Qur'ani ya karne ya 17 iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu huko Lucknow, India

Nakala ya Qur'ani ya karne ya 17 iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu huko Lucknow, India

IQNA – Katika mtaa wa kihistoria wa Farangi Mahal mjini Lucknow, mahali muhimu katika harakati za India za utamaduni na uhuru, kuna hazina ya kipekee: nakala ya Qur'ani ya kipekee iliyoandikwa kwa wino wa dhahabu miaka 340 iliyopita.
19:12 , 2025 Sep 12
Mwanazuoni: Mtume Muhammad (SAW) alikuja kumkomboa mwanadamu

Mwanazuoni: Mtume Muhammad (SAW) alikuja kumkomboa mwanadamu

IQNA – Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon ameadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Milad un Nabii kwa kutoa wito wa kutafakari juu ya ujumbe wake wa huruma, haki, na heshima ya kibinadamu kwa ulimwengu mzima.
18:36 , 2025 Sep 12
Kiongozi wa Hizbullah: Shambulizi dhidi ya Qatar ni sehemu ya Mpango wa ‘Israel Kubwa’

Kiongozi wa Hizbullah: Shambulizi dhidi ya Qatar ni sehemu ya Mpango wa ‘Israel Kubwa’

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya kupigania ukombozi ya Hizbullah nchini Lebanon amelaani shambulizi la hivi karibuni la Israel dhidi ya mji wa Doha nchini Qatar, akieleza kuwa tukio hilo ni sehemu ya mpango unaojulikana kama ‘Israel Kubwa’.
17:58 , 2025 Sep 12
1