IQNA

Picha za ibada katika usiku wa kwanza wa  'Laylatul Qadr' katika Haram ya Imam Ridha (AS)

Picha za ibada katika usiku wa kwanza wa 'Laylatul Qadr' katika Haram ya Imam Ridha (AS)

IQNA - Makumi ya maelfu ya waumini walikusanyika kwenye Haram ya Imam Ridha (AS) mnamo Machi 29, 2024, kutekeleza ibada za usiku wa kwanza wa 'Laylatul Qadr' katika Haram mkesha wa siku 19 ya Mwezi wa Ramadhani mwaka huu.
10:12 , 2024 Mar 31
Qiraa ya Qur'ani yenye mvuto ya qarii mashuhuri wa Iran Ustadh Karim Mansouri katika Kipindi cha TV cha Mahfel

Qiraa ya Qur'ani yenye mvuto ya qarii mashuhuri wa Iran Ustadh Karim Mansouri katika Kipindi cha TV cha Mahfel

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Karim Mansouri alisoma aya za Qur'ani Tukufu katika Kipindi cha Televisheni cha Mahfel kinachorushwa kila siku kupitia Kanali ya Tatu ya Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB).
10:07 , 2024 Mar 31
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 20

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 20

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 20 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
09:54 , 2024 Mar 31
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 20

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 20

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
06:06 , 2024 Mar 31
Sayyid Nasrallah atoa wito wa kujitokeza kwa wingi katika Siku ya Kimataifa ya  Quds

Sayyid Nasrallah atoa wito wa kujitokeza kwa wingi katika Siku ya Kimataifa ya  Quds

IQNA - Katibu Mkuu wa Hizbullah Sayyed Hasan Nasrallah ametoa wito kwa watu kujitokeza kwa wingi barabarani Ijumaa ijayo ambayo inaadhimishwa kama Siku ya Kimataifa ya Quds.
18:07 , 2024 Mar 30
Wapalestina 125,000 wahudhuria Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al-Aqsa, wakaidi Israel

Wapalestina 125,000 wahudhuria Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al-Aqsa, wakaidi Israel

IQNA - Takriban waumini 125,000 wa Kipalestina walikusanyika katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa al-Quds (Jerusalem) kwa ajili ya sala ya tatu ya Ijumaa ya mwezi mtukufu wa Ramadhani licha ya kuwekewa vikwazo vikali na utawala wa Kizayuni wa Israel.
17:54 , 2024 Mar 30
Waislamu wa Amerika Kusini waunga mkono Gaza katika Ramadhani iliyojaa huzuni

Waislamu wa Amerika Kusini waunga mkono Gaza katika Ramadhani iliyojaa huzuni

IQNA - Katika Amerika ya Kusini, jamii za Waislamu zinaadhimisha Ramadhani mwaka huu bila mazingira ya sherehe ambayo ni ya kawaida wakati wa mlo wa futari kutokana na mateso huko Gaza, ambapo zaidi ya Wapalestina 32,500 wameuawa tangu utawala wa Israel uanzishe vita eneo hilo Oktoba 7.
17:40 , 2024 Mar 30
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 19

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 19

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 19 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
11:26 , 2024 Mar 30
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 19

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 19

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:38 , 2024 Mar 30
Madina: Msikiti wa Mtume wapokea Waislamu milioni 15 katika nusu ya kwanza ya Ramadhani

Madina: Msikiti wa Mtume wapokea Waislamu milioni 15 katika nusu ya kwanza ya Ramadhani

IQNA - Katika nusu ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, karibu Waislamu milioni 15 walikwenda kwenye Msikiti wa Mtume SAW yaani Al-Masjid an-Nabawi huko Madina, eneo la pili takatifu katika Uislamu, kulingana na afisa wa Saudia.
15:58 , 2024 Mar 29
Wanafunzi Marekani waandamana kujibu barua ya ubaguzi iliyolenga Waislamu

Wanafunzi Marekani waandamana kujibu barua ya ubaguzi iliyolenga Waislamu

IQNA - Wanafunzi wengi katika Chuo Kikuu cha Washington (UW) huko Seattle nchini Marekani wameandamana kupinga ubaguzi na chuki dhidi ya Waislamu.
15:45 , 2024 Mar 29
Kitengo cha Kimataifa Cha Maonyesho ya 31 ya Qur'ani Tehram chamalizika

Kitengo cha Kimataifa Cha Maonyesho ya 31 ya Qur'ani Tehram chamalizika

IQNA – Kitengo cha Kimataifa cha Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kimefika ukingoni Alhamisi
15:12 , 2024 Mar 29
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 18

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 18

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 18 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
14:44 , 2024 Mar 29
Ayatullah Khamenei: Wapalestina Gaza tayari wameshapata ushindi katika medani ya vita

Ayatullah Khamenei: Wapalestina Gaza tayari wameshapata ushindi katika medani ya vita

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema vikosi vya mapambano ya Kiislamu ya wapigania ukombozi au Muqawama na Wapalestina wote katika Ukanda wa Gaza ndio washindi kwenye medani ya vita na utawala wa Kizayuni wa Israel ni mwangamizaji wa kizazi na akasisitiza kwa kusema: kilele cha kuheshimika na kusimama imara watu wa Gaza na Palestina na kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita hivyo vya miezi sita ni tukio na jambo lenye rehma za Mwenyezi Mungu.
11:46 , 2024 Mar 29
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 18

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 18

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:55 , 2024 Mar 29
10