IQNA

Kikundi cha kwanza cha Wairani wanaoelekea Umrah chafika Madina

IQNA – Kikundi cha kwanza cha Wairano wanaotekeleza Umrah baada ya Hajj ya mwaka huu kimewasili Madina, Saudi Arabia baada ya kuondoka mapema Jumamosi...

Mkurugenzi klabu ya soka Uhispania amkaribisha mchezaji kwa Ayah ya Qur'ani Tukufu

IQNA – Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya soka ya Uhispania ya Real Valladolid amesoma aya kutoka kwenye Qur’ani Tukufu kumkaribisha mlinzi mpya wa klabu...

Maandamano ya mamilioni Yemen kwa ajili ya mshikamano na Wapalestina Gaza

IQNA – Watu wa Yemen katika mkoa wa Saada wameshiriki katika maandamano ya mamilioni ya watu Ijumaa, wakionesha mshikamano wao na watu wanaodhulumiwa Palestina...

Idadi Kubwa ya Wafanyaziyara wafika Karbala katika Siku za Mwisho za Safar

IQNA – Mji mtukufu wa Karbala, Iraq, umefurika wafanyaziyara kwa wingi mno katika siku za mwisho ya mwezi wa Safar, kwenye makaburi matukufu ya Imam Hussein...
Habari Maalumu
Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

Mwanazuoni aeleza Jinsi Mtume Muhammad (SAW) Alivyounda Umma mmoja kutoka jamii ya kikabila

IQNA – Mwanazuoni kutoka Iran amesisitiza mafanikio ya kihistoria yaliyopatikana na Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kwa kuunda Umma mmoja ulioshikamana, kutoka...
22 Aug 2025, 16:17
Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

Msafara wa Qur’ani waripoti ukuaji wa asilimia 5 katika shughuli za Arbaeen

IQNA – Waandalizi wa msafara wa Qur’ani kutoka Iran wametangaza ongezeko la asilimia 5 katika shughuli za Qur’ani wakati wa ziyara na matembezi Arbaeen...
22 Aug 2025, 15:58
Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

Al-Azhar yalaani uhalifu wa chuki dhidi ya Msikiti huko Oxford, Uingereza

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kufuatilia na Kupambana na Misimamo Mikali kimelaani kitendo cha chuki kilichotokea hivi karibuni katika msikiti...
22 Aug 2025, 15:51
Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

Aya za Qur’ani, kaligrafia ya Kiarabu na ramani za nchi katika kazi za Msanii wa Mosul

IQNA-Jannat Adnan Ahmed, msanii mashuhuri wa khatt kaligrafia kutoka Mosul, Iraq, na anayeishi New Zealand, anajulikana kwa kazi zake za kipekee zinazochanganya...
22 Aug 2025, 15:42
Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

Maonyesho ya 'Qur'ani na Ashura' yafanyike eneo la Kashmir

IQNA-Maonyesho ya sanaa za Qur’ani na kidini yenye kichwa “Sanaa ya Mapenzi, Imani na Ashura” yalifanyika katika Chuo Kikuu cha Kashmir yakiratibiwa na...
22 Aug 2025, 15:37
Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

Washindi wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu, Makkah

IQNA – Saudi Arabia imetangaza washindi katika makundi matano ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yaliyofanyika mjini...
21 Aug 2025, 16:57
Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

Haram ya Najaf yafunikwa kwa kitambaa cheusi kabla ya kumbukumbu ya Wafat wa Mtume Muhammad (SAW)

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf imefunikwa kwa vitambaa vyeusi ikiwa ni sehemu ya maandalizi makubwa ya kumbukumbu ya Wafat au kufariki...
20 Aug 2025, 17:13
Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

Nigeria: Idadi ya waliouawa katika hujuma msikitini yapindukia 27

IQNA – Magaidi walifyatua risasi ndani ya msikiti katika eneo la kaskazini-kati mwa Nigeria wakati wa Swala ya Alfajiri siku ya Jumanne, na kuua angalau...
20 Aug 2025, 17:06
Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

Msomi atoa wito wa kurejea katika Qur’an na Ahlul-Bayt (AS)

IQNA – Wosia wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) kuhusu Ahlul-Bayt (AS), Qur’an Tukufu, na ulazima wa kulinda umoja wa Waislamu unaonyesha dira yake ya kujenga...
20 Aug 2025, 17:01
Zaidi ya Watoto 3,000 washiriki hafla ya Qur’ani Katika Haram ya Imam Ridha (AS) + Picha

Zaidi ya Watoto 3,000 washiriki hafla ya Qur’ani Katika Haram ya Imam Ridha (AS) + Picha

IQNA – Zaidi ya watoto 3,000 wamekusanyika katika Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad kwa ajili ya kongamano la Qur’ani lililopewa jina “Malaika...
20 Aug 2025, 16:49
Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu Makkah

Hafla ya Kufunga Mashindano ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu Makkah

IQNA – Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’an Tukufu ya Mfalme Abdulaziz yanatarajiwa kufikia tamati kwa hafla maalum itakayofanyika mjini Makkah siku...
20 Aug 2025, 16:41
Washiriki wa Mashindano ya Qur’ani watembelea Misikiti na maeneo ya kihistoria Madina

Washiriki wa Mashindano ya Qur’ani watembelea Misikiti na maeneo ya kihistoria Madina

IQNA – Washiriki wa Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mfalme Abdulaziz wametembelea misikiti ya kihistoria na maeneo ya turathi katika mji wa...
19 Aug 2025, 15:57
Mwanamke wa Karnataka aandika nakala nzima ya Qur’ani Tukufu kwa mkono

Mwanamke wa Karnataka aandika nakala nzima ya Qur’ani Tukufu kwa mkono

IQNA – Fathima Sajla Ismail kutoka jimbo la Karnataka, India, amekamilisha kuandika Qur’ani Tukufu yote kwa mkono akitumia kalamu ya jadi ya kuzamisha...
19 Aug 2025, 15:42
Mkutano wa Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) Kashmir wajadili msaada kwa wenye ulemavu wa macho

Mkutano wa Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) Kashmir wajadili msaada kwa wenye ulemavu wa macho

IQNA – Jumapili, mji wa Banihal katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India uliandaa Mkutano wa Pili wa Qur’ani ya Braille kwa watu wenye ulemavu wa...
19 Aug 2025, 15:23
Gavana wa Misri asema marehemu Qari Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani

Gavana wa Misri asema marehemu Qari Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani

IQNA – Gavana wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amesema kuwa marehemu qari Sheikh Abulainain Shuaisha alikuwa balozi bora wa Qur’ani na ataendelea...
19 Aug 2025, 15:11
Tathmini ya awali ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi yakamilika

Tathmini ya awali ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanafunzi yakamilika

IQNA – Mchujo wa awali wa usomaji kwa ajili ya Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu umekamilika, ambapo kazi kutoka nchi 36 zimepitiwa.
19 Aug 2025, 14:38
Picha‎ - Filamu‎