IQNA

Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amemtaja Allamah Mirza Muhammad Hussain Naeini (Rehmatullah alayh) kama...

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

IQNA – Kwa kuboresha mazingira ya upangaji na uamuzi, na kuongeza ushiriki wa washiriki wenye hamasa, mashindano ya kuhifadhi Qur’ani ya Australia yamegeuka...

Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano...

Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Mamlaka za Palestina zimeonya kuwa shughuli za uchimbaji zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Msikiti wa Al-Aqsa na katika Mji...
Habari Maalumu
Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii  'Halal'

Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii 'Halal'

IQNA – Serikali ya Ufilipino imezindua mpango mpya wa kukuza nafasi ya taifa hilo la Kusini Mashariki mwa Asia katika soko la kimataifa la utalii 'Halal',...
23 Oct 2025, 16:49
Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa...
23 Oct 2025, 16:39
Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway (Islamic Dialogue Network) umezindua tovuti ya kwanza ya kitaifa ya kupambana na chuki dhidi ya...
23 Oct 2025, 16:33
Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

IQNA – Mwanazuoni mwenye msimamo wa kihafidhina na aliye katika miaka ya tisini ameteuliwa kuwa kiongozi mkuu wa kidini au Mufti Mkuu nchini Saudi Arabia,...
23 Oct 2025, 16:55
Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki...
23 Oct 2025, 16:21
WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

IQNA – Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesema kuwa kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000...
22 Oct 2025, 17:00
Mpango wa Kitaifa wa Qur’ani Iran “Aya za Kuishi Nazo” Watarajiwa Kuwafikia Mamilioni

Mpango wa Kitaifa wa Qur’ani Iran “Aya za Kuishi Nazo” Watarajiwa Kuwafikia Mamilioni

IQNA – Afisa mwandamizi wa masuala ya Qur’ani amesema kuwa kampeni ya “Aya za Kuishi Nazo” imekua na kuvuka mipaka ya mpango wa kitamaduni, na sasa imegeuka...
22 Oct 2025, 16:24
Msomi: Mitazamo ya uadui yenyewe yathibitisha Muujiza wa Qur’ani

Msomi: Mitazamo ya uadui yenyewe yathibitisha Muujiza wa Qur’ani

IQNA – Kutoweza kwa wakosoaji kuleta kilicho sawa na Qur’ani ni ushahidi wa muujiza wake, amesema profesa wa chuo kikuu nchini Iran, akiongeza kuwa hata...
22 Oct 2025, 16:50
Wahifadhi Qur’ani 318 Wakabidhiwa Vyeti Katika Hafla ya Istanbul

Wahifadhi Qur’ani 318 Wakabidhiwa Vyeti Katika Hafla ya Istanbul

IQNA – Hafla ya kukabidhi vyeti kwa wahifadhi wa Qur’ani 318 na wanafunzi wa masomo ya Kiislamu imefanyika katika Msikiti wa Yavuz Sultan Selim mjini Istanbul.
22 Oct 2025, 16:38
Ansarullah iko tayari kurejea kwa nguvu zaidi katika uwanja wa mapambano dhidi ya adui

Ansarullah iko tayari kurejea kwa nguvu zaidi katika uwanja wa mapambano dhidi ya adui

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesisitiza katika hotuba yake kuwa, iwapo makubaliano ya kusitisha vita huko Gaza yatakiukwa, wananchi...
22 Oct 2025, 10:51
Misingi ya Nadharia ya Ushirikiano na Usalama wa Kijamii
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/4

Misingi ya Nadharia ya Ushirikiano na Usalama wa Kijamii

IQNA – Ushirikiano na usalama wa kijamii kwa wale waliotengwa na wahitaji ni miongoni mwa masharti muhimu ya mwenendo wa waumini, kwa mujibu wa aya za...
21 Oct 2025, 17:38
Kongamano la Kwanza la Kimataifa la “Qur’an ya Negel” Lafanyika Sanandaj

Kongamano la Kwanza la Kimataifa la “Qur’an ya Negel” Lafanyika Sanandaj

IQNA – Kongamano la kwanza la kimataifa la “Qur’an ya Negel” limefanyika mjini Sanandaj siku ya Jumatatu, likiwakutanisha makari na wahifadhi wa Qur’an...
21 Oct 2025, 17:34
Harakati ya Jihad ya Kiislamu Yakataa Masharti ya Kupkonywa Silaha

Harakati ya Jihad ya Kiislamu Yakataa Masharti ya Kupkonywa Silaha

IQNA – Mwakilishi wa harakati ya Jihad ya Kiislamu (Jihad Islami) ya Palestina nchini Iran amesema kuwa mapambano ya ukombozi hayataisha kwa kumalizika...
21 Oct 2025, 17:29
Msikiti Mpya Uliojengwa kwa Mchango wa Waislamu wa Nigeria Wafunguliwa Canada

Msikiti Mpya Uliojengwa kwa Mchango wa Waislamu wa Nigeria Wafunguliwa Canada

IQNA – Jumuiya ya Waislamu wa jiji la Winnipeg, mji mkuu wa jimbo la Manitoba nchini Kanada (Canada), walikusanyika mwishoni mwa wiki hii kusherehekea...
21 Oct 2025, 17:24
Kituo cha Al-Azhar Chatoa Onyo Kuhusu Matumizi Mabaya ya Akili Mnemba Kusambaza Chuki Dhidi ya Waislamu nchini India

Kituo cha Al-Azhar Chatoa Onyo Kuhusu Matumizi Mabaya ya Akili Mnemba Kusambaza Chuki Dhidi ya Waislamu nchini India

IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Itikadi Kali kimetoa onyo kali kuhusu matumizi mabaya ya teknolojia ya Akili Mnemba (AI) katika kuchochea chuki...
21 Oct 2025, 17:18
Msomi: Qurani Tukufu ni Katiba Kamili ya Maisha ya Kiuchumi, Kitamaduni na Kisiasa

Msomi: Qurani Tukufu ni Katiba Kamili ya Maisha ya Kiuchumi, Kitamaduni na Kisiasa

IQNA-Sheikh Mamosta Fayeq Rostami, msomi maarufu wa Ahul Sunna na mwakilishi wa watu wa Kurdistan katika Baraza la wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi...
20 Oct 2025, 06:47
Picha‎ - Filamu‎