Habari Maalumu
Jinai za kivita za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mashirika kadhaa ya kutetea haki za Wapalestina yameikabidhi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) maelezo ya kina kuhusu jinai za kivita...
25 May 2022, 18:50
Benki za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Sekta ya benki ya Kiislamu ya Pakistani inakadiriwa kuwa inastawi haraka na hivyo itazipita kwa kiasi kikubwa benki za kawaida ifikapo...
25 May 2022, 18:27
Watoto na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa masomo ya Qur'ani Tukufu katika majira ya joto katika misikiti ya Misri umepokelewa vyema na watoto wa shule.
25 May 2022, 18:02
Kiongozi Muadhamu na Masuala ya Kimataifa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha sababu za hali maalumu duniani sasa na kusema kusema katika hali ya sasa ya dunia,...
25 May 2022, 19:08
Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Wakati fulani swali linazuka kuhusu namna Uislamu unavyoutazama umaskini na utajiri ni upi kwa mujibu wa aya za Qur'ani Tukufu na ni kipi...
24 May 2022, 18:01
Mauaji ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema tukio la kigaidi la mauaji ya Mlinzi wa Haram Shahidi Kanali Hassan Sayyad Khodaei...
24 May 2022, 16:33
Njama za Wazayuni dhidi ya al Quds
TEHRAN (IQNA) - Taasisi kadhaa za Kiislamu mjini al-Quds (Jerusalem) zimeonya dhidi ya kuzuka kwa vita vya kidini kama uamuzi wa mahakama ya Israel ambao...
24 May 2022, 16:15
Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rashad Nimr Abu Ras, mvulana Mpalestina mwenye umri wa miaka saba amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu katika Ukanda wa Gaza.
24 May 2022, 15:40
Waislamu na siasa Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Akhtar Zaman amechaguliwa kama meya mpya wa mji wa Bolton nchini Uingereza, na kuwa Muislamu wa kwanza anayechukua nafasi hiyo.
23 May 2022, 22:10
Uislamu na vita dhidi ya njaa
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi ametoa wito kwa maafisa wa nchi hiyo kuchukua somo kutoka aliyoyasema Nabii Yusuf AS katika Qur’ani Tukufu...
23 May 2022, 22:48
Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mfawidhi Haram Takatifu ya Imam Ridha AS mjini Mashhad anasema umoja kati ya Waislamu na Wahindu ulikuwa muhimu katika kuwashinda wakoloni,...
23 May 2022, 21:44
TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema maadui wa mfumo mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena wamedhihirisha...
23 May 2022, 11:42
Tafsiri ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Wakati Mwenyezi Mungu SWT alipomuumba mwanadamu, alimfanya kuwa Khalifa au msaidizi wake katika ardhi.
22 May 2022, 14:15
Uislamu na teknolojia
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la masuala ya uchumi wa Kiislamu limetangaza kuzindua Metaverse ya kwanza ya Kiislamu ambayo inaenda sambamba na mafundisho...
22 May 2022, 15:56
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Bunge la Misri ameulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutekeleza "njama mbovu" za kuangamiza utambulisho wa Kiarabu na Kiislamu...
22 May 2022, 14:52
TEHRAN (IQNA)-Mvulana Mmisri mwenye umri wa miaka 9 ana kipaji cha kipekee cha kusoma Qur'ani Tukufu kiasi kwamba sasa amepewa lakabu ya 'Abdul Basit Mdogo".
22 May 2022, 13:23