Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yamemalizika tamati, huku qari wa Iran Ustadh Mostafa Hemmat Qassemi akishinda tuzo ya juu zaidi.
Habari ID: 3478668 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11
Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Maqari waliofanikiwa kuingia katika awamu ya nusu fainali ya Mashindano ya 17 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Al-Kawthar TV wametangazwa.
Habari ID: 3478646 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Usajili wa toleo la 17 la mashindano ya kila mwaka ya kimataifa ya Qur'ani yanayoandaliwa na Televisheni ya Al-Kawthar ulifunguliwa Jumatano iliyopita, sambamba na kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Hazrat Zahra (SA).
Habari ID: 3478168 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)-Washindi wa toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Quran ya Televisheni ya Al-Kawthar TV wametangazwa jana usiku ambapo Qari wa Afghanistan ameibuka mshindi..
Habari ID: 3476898 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/21
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maqarii kumi na wawili ambao wamefanikiwa kuingia katika raundi ya nusu fainali ya toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Televisheni ya Al-Kawthar.
Habari ID: 3476810 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Duru ya 16 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar yameanza leo Jumatano jioni.
Habari ID: 3476742 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa njia ya televisheni
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa wanaotaka kushiriki toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar TV utaanza Jumamosi, Februari 4.
Habari ID: 3476495 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31
TEHRAN (IQNA)-Usajili wa washiriki wa Awamu ya 15 ya Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma Qur'ani Tukufu ya Televisheni ya Al Kauthar umeanza.
Habari ID: 3474938 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/17
TEHRAN (IQNA)- Washiriki 96 kutoka nchi mbali mbali wanashiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Kusoma Qur’ani (qiraa) ya Televisheni ya Al-Kawthar.
Habari ID: 3473825 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/18
TEHRAN (IQNA)- Majaji wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al Kauthar ya Iran wametangazwa.
Habari ID: 3473802 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/11
TEHRAN (IQNA)- Zoezi la kuwasajili washiriki wa Awamu ya 14 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Televisheni ya Al Kauthar linaendelea.
Habari ID: 3473764 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/27