iqna

IQNA

EJEI
Mkuu wa Idara ya Mahakama Iran
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam wal Muslimin Gholamhossein Mohseni-Ejei, Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, amekosoa utendakazi wa wale wanaodai kutetea haki za binadamu na kusema: Wanaodai kutetea haki za binadamu huko Magharibi hawawezi hata kueleza maana ya mwanadamu kwa njia sahihi.
Habari ID: 3475579    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/04

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema Mapinduzi ya Kiisalmu ya Iran ni tafauti kabisa na mapinduzi mengine dunaini na kuongeza kuwa: "Mbinu aliyotumia Imam Khomeini (MA) ilikuwa ni kuwategemea wananchi."
Habari ID: 3474883    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesema kuwa Serikali, Idara ya Mahakama na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran zinapasa kutumia vyombo vyote vya kisheria kwa ajili ya kuwafuatilia wahusika wa mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qasem Soleimani.
Habari ID: 3474760    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/03