iqna

IQNA

mfawidhi
Harakati za Qur'ani
IQNA –Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq imeandaa mkusanyiko wa qiraa ya Qur'ani Tukufu nchini Senegal kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478664    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, amesema Waislamu duniani kote wanapaswa kuungana chini ya bendera ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476640    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28

Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq utakuwa mwenyeji wa awamu ya pili ya Maonyesho ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ndani ya wiki chache kuanzia sasa.
Habari ID: 3476364    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema amepata mvuto wa kipekee wa kiroho alipokuwa akitembelea Haram (kaburi) takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3476293    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Waislamu Burkina Faso
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha uenezi cha kimataifa chenye mfungamano na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Ira kimeandaa duru za Qur'ani na programu za elimu kwa wanafunzi wa shule na vyuo vikuu nchini Burkina Faso.
Habari ID: 3476261    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas AS katika mji wa Karbala, Iraq imeandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu ambayo yamewashirkisha watoto na mabarobaro wa nchi tano za Kiafrika.
Habari ID: 3475489    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/11

Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Mfawidhi Haram Takatifu ya Imam Ridha AS mjini Mashhad anasema umoja kati ya Waislamu na Wahindu ulikuwa muhimu katika kuwashinda wakoloni, na kuongeza kuwa hivi kuna njama za kupanda mbegu za ugomvi kati ya vikundi hivi vya India.
Habari ID: 3475284    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/23

TEHRAN (IQNA)- Kitengo cha Kimataifa cha Taasisi ya Darul Qur’an ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Hussein AS inaendeleza harakati zake za Qur’ani Tukufu nchini Mali.
Habari ID: 3474724    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26

TEHRAN (IQNA) Kundi la wasomaji na wanaohifadhi Qur’ani Mauritania wametembelea Haram Takatifu ya Imam Hussein AS mjini Karbala, Iraq.
Habari ID: 3474571    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/17