iqna

IQNA

sabri
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) pamoja na kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ulijaribu kuwazuia waumini kufika katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475270    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) amesisitiza kuwa, hatua ya Wazayuni ya kung'ang'a kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa al-Aqsa inaweka wazi njama zao za kutaka kutwisha uhakika mpya kuhusiana na kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3474335    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24