iqna

IQNA

amisom
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Hissen Brahim Taha amelaani vikali hujuma ya kigaidi Somalia ambayo ilipelekea karibu watu 8 wapoteze maisha.
Habari ID: 3474814    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 10 wameuawa katika hujuma ya kigaidi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
Habari ID: 3474796    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/12

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua kumi wameuawa baada kundi la kigaidi la Al Shabab kutekeleza hujuma katika mghahawa mmoja wenye shughuli nyingi kwenye makutano ya barabara ya Jubba, katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3474067    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03