TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Hissen Brahim Taha amelaani vikali hujuma ya kigaidi Somalia ambayo ilipelekea karibu watu 8 wapoteze maisha.
Habari ID: 3474814 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 10 wameuawa katika hujuma ya kigaidi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
Habari ID: 3474796 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/12
TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua kumi wameuawa baada kundi la kigaidi la Al Shabab kutekeleza hujuma katika mghahawa mmoja wenye shughuli nyingi kwenye makutano ya barabara ya Jubba, katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3474067 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03