iqna

IQNA

mwanazuoni
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Sayyid Abdullah Fateminia, mwanazuoni maarufu wa akhlaqi za Kiislamu ameaga dunia.
Habari ID: 3475257    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/16

TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni mtajika wa Kiislamu nchini Iran, Ayatullah Muhammad Yazdi, ameaga dunia leo na kurejea kwa Mola wake.
Habari ID: 3473438    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/09

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Ayatullah Ibrahimi Amini mwanazuoni maarufu, mwakilishi wa watu wa Tehran katika Baraza la Wanazuoni Wanaomchagua Kiongozi Muadhamu na mwanachama wa Baraza la Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Iran ameaga dunia na kurejea kwa Mola wake baada ya kuugua kwa muda.
Habari ID: 3472700    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/25

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha mjumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi na Imam wa Sala ya Ijumaa wa Jamii ya Masunni katika mji Sanandaj magharibi mwa Iran.
Habari ID: 1399942    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/26