IQNA

Kubeba kadi ya Nusuk katika Hija ni wajibu; Je, ikipotea ufanyeje?

Kubeba kadi ya Nusuk katika Hija ni wajibu; Je, ikipotea ufanyeje?

IQNA – Kubeba kadi ya Nusuk ndani ya Saudi Arabia ni sharti kwa walio katika safari ya Hijja kwani ina taarifa muhimu. Lakini itakuwaje iwapo atapoteza?
10:57 , 2025 May 08
Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Abdulaziz Ali Faraj  akisoma aya ya Surah Maryam Surah

Kisomo cha Mbinguni: Msikilize Sheikh Abdulaziz Ali Faraj akisoma aya ya Surah Maryam Surah

IQNA- Ifuatayo ni qiraa (kisomo) ya aya 12 ya Surah Maryam ikisomwa na qarii wa Misri Sheikh Abdulaziz Ali Faraj.
10:32 , 2025 May 08
Ayatullah Javadi Amoli: Qur'ani Tukufu huwa na ujumbe mpya kwa kila zama

Ayatullah Javadi Amoli: Qur'ani Tukufu huwa na ujumbe mpya kwa kila zama

IQNA – Qur'ani Tukufu daima hubeba ujumbe mpya kwa kila kipindi, amesema mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu Ayatullah Abdollah Javadi Amoli.
10:06 , 2025 May 08
Hujuma ya India imeua watu 13 msikitini nchini Pakistan

Hujuma ya India imeua watu 13 msikitini nchini Pakistan

IQNA- Watu 13 Wauawa Katika Shambulio la India Kwenye Msikiti wa Pakistan: Afisa Shambulio la kombora la India kwenye msikiti huko Bahawalpur, mji katika Punjab ya Pakistan, afisa wa Pakistani alisema. Afisa huyo aliongeza kuwa wanawake na watoto walikuwa miongoni mwa waliouawa katika shambulio hilo.
22:16 , 2025 May 07
Ayatullah Khamenei: Kazi muhimu ya Hauza ni kufikisha ujumbe wa ustaarabu mpya wa Kiislamu

Ayatullah Khamenei: Kazi muhimu ya Hauza ni kufikisha ujumbe wa ustaarabu mpya wa Kiislamu

IQNA-Katika ujumbe wake kwa kongamano la "Miaka 100 wa Kuanzishwa Hauza ya Qum nchini Iran," Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Kazi muhimu zaidi ya Hauza na taasisi ya kielimu ya vyuo vikuu vya kidini, ni kufikisha ujumbe wa wazi na kuweka msingi wa ustaarabu mpya wa Kiislamu."
21:36 , 2025 May 07
Uzinduzi wa Msikiti wa Al-Mustafa na Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani katika mji mkuu wa Ghana

Uzinduzi wa Msikiti wa Al-Mustafa na Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani katika mji mkuu wa Ghana

IQNA – Msikiti mpya umezinduliwa katika mji mkuu wa Ghana kwa ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya Qatar .
16:57 , 2025 May 07
Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

Ayatullah Khamenei amjulia hali mwanazuoni aliyelazwa hospitalini

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, alimtembelea Ayatullah Hossein Ali Nouri Hamedani katika hospitali moja mjini Tehran.
16:49 , 2025 May 07
17