iqna

IQNA

ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo mashirika ya mafuta ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) bado hayajatangaza hasara yalizopata kufuatia mashambulio ya ulipizaji kisasi yaliyotekeleza na Jeshi la Yemen, lakini picha za satalaiti zinaonyesha uharibifu mkubwa uliofanyika.
Habari ID: 3474823    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/18

TEHRAN (IQNA)- Australia imelaaniwa vikali kufuatia hatua yake ya kutangaza chama cha Hizbullah cha Lebanon kuwa eti ni harakati ya kigaidi.
Habari ID: 3474599    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Kinara mmoja wa kundi la kigaidi la Al Qaeda amekiri kuwa kundi hilo linashirikiana kwa karibu na muungano vamizi wa Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3474550    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Saudi Arabia na Imarati ni nyenzo zinazotumiwa na Marekani.
Habari ID: 3474320    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Saudi Arabia, utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani ziko kwenye muungano mmoja.
Habari ID: 3474252    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03

TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen linasema linasubiri majibu chanya kutoka kwa Umoja wa Mataifa na mjumbe wake mpya wa Yemen, Hans Grundberg, kuhusu mpango uliopendekezwa na Harakati ya Ansarullah kwa ajili ya kusaidia kumaliza vita nchini Yemen.
Habari ID: 3474204    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa hatua ya utawala wa Aal Saud ya kuzuia kufanyika ibada tukufu ya Hija kwa mwaka wa pili mfululizo kwa kisingizio cha corona ni kuivunjia heshima Nyumba Tukufu ya Allah.
Habari ID: 3474176    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/10

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa kumpenda na kumfuata wasii wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Ali bin Abi Twalib (AS) ndiyo njia ya uokovu na kujikwamua katika makucha ya mabeberu.
Habari ID: 3474139    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/29

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kukabiliana na vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel ni wajibu na jukumu la kidini la Umma wote wa Kiislamu.
Habari ID: 3473884    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah Sayyid Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema Waislamu duniani kote wanapaswa kurejea katika mafundisho ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473800    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema muungano vamizi wa kijeshi umebomoa misikiti 1400 katika mashambulizi yake maeneo mbali mbali nchini Yemen.
Habari ID: 3473762    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/26

TEHRAN (IQNA)- Mohammed Abdul Salam, msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema pendekezo la amani la Saudia ‘halina jipya’ kwani halijumuishi takwa la Ansarullah la kuondolewa mzingiro kikamilifu dhidi ya Yemen hasa katika uwanja wa ndege wa Sana’a na bandari ya Hudaydah.
Habari ID: 3473757    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/24

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa Iran inaunga mkono mpango wowote wa kuleta amani Yemen.
Habari ID: 3473756    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/23

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa watu wa nchi hiyo hawatawekwa chini ya mamlaka ya Saudi Arabia, Imarati, Marekani au utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473667    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/20

TEHRAN (IQNA)- Yemen inakabiliwa na baa kubwa la njaa ambalo linaweza kuvuruga jitihada mpya za kusaka amani katika nchi hiyo ambayo kwa miaka sita sasa imekuwa ikikabiliwan na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia na waitifaki wake,
Habari ID: 3473663    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/19

TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa serikali ya Yemen wanasema nchi yao hivi imo vitani, inashambuliwa kila uchao na muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia, hivyo ni haki ya kawaida kabisa kwa wananchi wa Yemen kujibu mashambulizi wanayofanyiwa.
Habari ID: 3473653    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/15

TEHRAN (IQNA)- David Beasley Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani (WFP) amesema kuwa uamuzi Marekani dhidi ya harakati ya Ansarullah ya Yemen ni sawa na kutolewa hukumu ya kifo kwa Wayemen wasio na hatia.
Habari ID: 3473558    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/15

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Maulamaa wa Yemen imetoa taarifa na kulaani vikali hatua ya Marekani kutangaza kuwa Harakati ya Mamapmbano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen ni kundi la 'kigaidi'.
Habari ID: 3473550    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/12

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen ameashiria kuendelea kuchimbwa mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kueleza kwamba, Waislamu wanapaswa kutumia nyenzo na suhula zote kukabiliana na njama hizo.
Habari ID: 3473483    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23

TEHRAN (IQNA) – Yemen ni sehemu hatari zaidi kwa watoto duniani, amesema Henrietta Fore Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF).
Habari ID: 3473453    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/13