Maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina na kulaani utawala wa Israel yalienea katika nchi nyingi zenye Waislamu wengi baada ya swala ya Ijumaa.
Mikutano ya hadhara iliripotiwa nchini Iran, Uturuki, Misri, Jordan, Lebanon, Syria, Qatar, Iraq, Yemen, Malaysia na maeneo mengine, katika miji zaidi ya moja katika baadhi ya nchi kwa maandamano makubwa .