Maonyesho hayo ambayo yameanza mjini Tehran katika Bustani ya Wilayat yanatazamiwa kuendelea hadi Novemba 8. Katika maonyesho hayo kuna zaidi zaidi ya kazi 400 za sanaa na pia kuna wasanii. Wasimamizi wanasema kila usiku kuna wageni takribani 7000 wanaotembelea maonyesho hayo.